Unaweza soma hizi pia..
Jinsi wageni wanavyowakimbiza wazawa Ligi Kuu.
Achana na ubabe huo wa vigogo wa nchi katika msimamo wa Ligi, upande wa pili kwenye takwimu za mchezaji mmoja mmoja wachezaji wakigeni wameonekana kufanya vizuri na kuwakimbiza wazawa.
Bodi ya Ligi wamaliza mjadala wa Kapombe na Zimbwe kuitwa Stars
Walinzi wengine wa pembeni walioitwa katika kikosi cha Stars Kibwana Shomary [Yanga], Datius Peter [Kagera Sugar] na Yahya Mbegu wa Ihefu wote hawapo katika orodha hiyo.
Jinsi Simba walivyoweka rekodi ngumu ya mabao Ligi Kuu
Katika hatrick zote sita ni Jean Baleke ndio ameweka rekodi tofuati katika ufungaji wake mpaka sasa.
Yanga yaifumua Geita yajichimbia kileleni
Licha ya Geita Gold kutangulia kufunga lakini Yanga walitulia na kurudi kwa kasi kipindi cha pili, walirudisha bao hilo na kuongeza mengine na kupata ushindi mnono.