
Aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa klabu ya Yanga ambaye alijiuzuru mwaka jana, Salum Mkemi ametangaza kurudi rasmi katika nafasi yake.
Akiongea na mtandao huu wa Kandanda.co.tz , Salum Mkemi amedhitisha kwa kusema kuwa
“Natangaza rasmi nimerudi katika nafasi yangu ya jumbe wa kamati ya Utendaji.
Maana barua yangu ya kujiuzulu haijajibiwa mpaka leo na viongozi wa Yanga.
Viongozi waliopo hawatosho kuijadili, hivyo nimeamua kurudi katika nafasi yangu ya kazi rasmi kuanzia leo tarehe 11/01/2018.
Unaweza soma hizi pia..
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.