Yanga yataja siku ya kumtambulisha Aziz Ki!
Senzo Mazingisa pia alikanusha uvumi wa Fiston Mayele kusajiliwa na Kaizer Chiefs na kusema kuna wanahabari wanataka kuwachanganya.
Tamu na chungu za dakika ya mwisho!
Ligi kwa ujumla ilikuwa ngumu na yeye kusisimua licha ya bingwa kupatikana mapema lakini kiwango cha ushindani kilikuwa kikubwa hadi dakika ya mwisho.
Hizi hapa mechi kali zakumalizia Ligi!
Binafsi hii ndiyo michezo mikubwa miwili ninayoiangalia kwa jicho la uoga kwa kuwa ina maamuzi na hatma ya timu. Fiston Mayele na George Mpole!?
Yanga! Yanga! Yanga Afrika!
Hii ni rekodi ya klabu ya Yanga kwa Msimu wa 2021/2022. Matokeo ya mechi zote na wafungaji wake.
Mechi ngumu funga Ligi Kuu
igi Kuu Tanzania Bara imeshapata bingwa wake, Mabingwa mara 28 wa kombe hilo,Yanga SC. Zifuatazo ni mechi ambazo zinachezwa siku ya alhamisi kwaaajili ya kufunga Ligi Kuu.
Rais FIFA aguswa na ubingwa wa Yanga!
Aidha rais Infantino pia ameonyesha kuheshimu na kumshukuru Rais wa TFF Wallace Karia kwa juhudi zake kubwa katika kukuza mchezo wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati [CECAFA].
Hii ndio Yanga bwanaa…
Shangwe la ubingwa si tu limeigusa Dar es salaam lakini pia Afrika nzima ilipata habari na ilitikisika.
Wababe wa Simba wakataliwa kwa Mayele!
Kwa hakika nimekua nikipokea ofa kutoka nchi mbalimbali Afrika wakimuulizia Mayele.
Chico Ushindi anabaki Yanga, Moloko kumpisha Yanga.
Mawinga wa sasa hawakai ukingoni mwa uwanja muda mwingi wanacheza kama viungo wa kati na kukimbilia kwenye box ili kufunga moja kwa moja kitu ambacho yeye hakifanyi.
Feisal hakupaswa kumuwaza Aziz Ki
Nafasi anazozimudu ni zote za mstari wa mbele lakini ni mtamu zaidi akicheza 7,8 10 na 11kifupi ni' Attacking midfielder