Sasa Simba na Yanga zinapishana katika viwanja vya ndege vya Kimataifa wakienda kupambana na vigogo wengine Afrika, wakati pia tuna uhakika wakupata mechi nzuri kila weekend pale Kwa Mkapa
Yanga si tu walipata ushindi lakini pia walicheza vyema katika dakika zote 90 na kuwadhibiti kabisa Monastir ambao hawakupata hata nafasi yakupiga shuti lililolenga lango.
Mchezo wa mwisho wa kundi hilo Yanga watamalizia ugenini Congo dhidi ya Mazembe hivyo ni vyema leo wakamalizana na Monastir wakiwa nyumbani Kwa Mkapa na kufuzu robo fainali.
Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa
Akizungumzia tuzo hiyo msemaji wa klabu ya Yanga wamesema wanafurahia kwa alichofanya Musonda lakini pia watafanya kazi kubwa kumzuia maana tayari amejiweka sokoni.