
Licha kwamba timu yake ya KRC Genk imepoteza kwa kipigo kikubwa cha 6-2 kutoka kwa Salzburg, lakini hizi hapa ndio rekodi ambazo Mbwana Samatta ameweka baada ya dakika tisini kumalizika.
1 Anakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kucheza michuano mikubwa ulimwenguni ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
2 Mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kufunga katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
3 Mchezaji wa kwanza kutoka Afrika mashariki na kati kufunga katika mechi yake ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Unaweza soma hizi pia..
Mzimu wa Bernabeu unavyowatafuna wapinzani wa Madrid!
Hapa ndiyo machinjioni Santiago Bernabeu Yeste hatoki mtu, uwanja pekee unakupa uhakika wa goli hivyo ni juhudi zako tu kulipachika.
Asikuambie mtu vita hivi vina raha yake.
Na matumaini macho yetu hayata boreka kwa mchezo huu. Itakua ni "Classic Game".
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,
Barcelona na zimwi likujualo halikuli likakwisha
Nadhani kuna haja ya kuachana na dhana ya kutumia wachezaji waliopita katika club wakati wa Career zao wakiwa wachezaji kabla ya kuturn kwenye Coaching.