Mbwana Samatta amtaja nyota wa Liverpool!
Nakumbuka wakati sisi (Genk), tulicheza kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Liverpool ilikuwa ngumu kumpita.
Samatta aweka rekodi tatu UEFA
Licha kwamba timu yake ya KRC Genk imepoteza kwa kipigo kikubwa cha 6-2 kutoka kwa Salzburg, hizi ni rekodi zake.
Msikie Samatta baada ya goli lake la kwanza Klabu Bingwa Ulaya.
Genk imetupwa katika kundi E ambalo lina vigogo kama Liverpool, Napoli na RB Salzburg. Kundi hili lilicheza michezo yake siku ya Jana Jumanne, Napoli wakiibuka na Ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Liverpool nyumbani, kisha RB Salzburg ikaichapa Genk.
Samatta kwenda Schalke 04?
Tetesi hizi zimekuwa kubwa baada ya leo KRG Genk kumsajili mshambuliaji mpya raia wa Nigeria ambaye inasemekana ndiyo atakayeziba pengo lake.
Samatta anatafutwa EPL
Samatta amekuwa na msimu wenye mafanikio baada ya kuifungia mabao 23 klabu hiyo ambayo ilitwaa kombe la ligi yao.
Mbwana Samata anatakiwa na klabu ya EPL.
Mbwana Samata anaongoza katika chati ya ufungaji mabao katika Jupiter pro League
Mechi 20, Magoli 20 hakuna kama Samatta Ulaya yote.
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta usiku wa kuamkia leo alifunga magoli mawili ya harakaharaka dakika za mwisho na kuirudisha timu...
Tutumie hata kitabu cha Samatta kwa kina Ajib
Dibaji yake inavutia na haitofautiani sana na Dibaji za wachezaji wengi wa Tanzania. Hakuzaliwa katika mazingira yenye utajiri mkubwa, hata...