Achana na jezi zinazotangaza mbuga zetu kinamna tofauti, lakini tuangalie mechi hizi ambazo zaidi ya kuzifuatilia hapa zinaweza kukufanya urambe mkwanja pia.
Matajiri wa jiji la Dar es Salaam, wakiwa na matokeo mazuri katika mechi yao ya ufunnguzi wa Ligi kuu, wanaikaribisha Coastal Union ambayo ilipoteza mechi yake ya mwanzo dhidi ya Namungo FC ugeneni.
Hapa tunaipa nafasi Azam FC ushindi
Gwambina FC, jezi za pundamilia za Manchester United, zingewafaa sana msimu huuu nao. Hasa ukichukulia nao wana rangi mbili tu, Nyeusi na nyeupe. Watakuwa nyumbani kuikaribisha timu ngumu ya Kagera Sugar.
Mechi hii tuipa sare ya kutokufungana au magoli.
>>>Sasa ukitaka kuramba mshiko zaidi, bofya hapa uende ukajisajili.
You Might Also Like
Wazee wa moja moja waipumulia Simba!
Bai moja bila dhidi ya Mbeya City, dhidi ya Kagera na sasa dhidi ya Mtibwa Sugar
Mtoto wa Mfalme anawakimbiza!
Mbio za kuwania Galacha wa mabao tayri zimeanza kwa kasi katika msimu huu.
SIMBA SC nayo ni timu ya WANANCHI pia.
Tunadharau kiingilio kidogo cha SIMBA, Bhakresa anauza vitu kwa shilingi mia.