
Ligi Kuu Bara imebakiwa na michezo miwili pekee ili kuweza kumalizika, tayari bingwa amepatikana hivyo kubakisha vita katika sehemu mbili pekee kabla ya Ligi kumalizika. Kuna vita ya kuwania ufungaji bora na ile ya kukwepa kushuka daraja.
Baada ya Waziri Junior na Meddie Kagere kufunga katika mchezo wao wa jana tazama hapa chati ya ufungaji bora ilivyonoga haswa kwa wazawa.
Wafungaji Bora
Na. | Mchezaji | Timu | ![]() | |
---|---|---|---|---|
1 | ![]() | ![]() | 22 | 6 |
2 | ![]() | ![]() | 13 | 0 |
3 | ![]() | ![]() | 12 | 2 |
4 | ![]() | ![]() | 12 | 0 |
5 | ![]() | ![]() | 12 | 1 |
6 | ![]() | ![]() | 12 | 0 |
7 | ![]() | ![]() | 11 | 1 |
8 | ![]() | ![]() | 11 | 1 |
9 | ![]() | ![]() | 10 | 0 |
10 | ![]() | ![]() | 10 | 0 |
Unaweza soma hizi pia..
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kocha Yanga: Kesho tunacheza mechi mbili.
Yanga wakaua makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kupepetana na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu ya NBC.