
Uongozi wa klabu ya soka ya AFC Leopards umetuma malalamiko yake kwa mamlaka husika ikiwemo shirikisho la soka nchini (TFF) kuhusu Simba SC kumtumia beki Lamine Moro wakati ni mchezaji halali wa Buildcon FC ya Zambia.
Hiyo ni baada ya timu hiyo kufungwa mabao 2-1 na Simba katika mchezo wa michuano ya SportPesa jioni hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Saul Shikuku ni mjumbe kamati utendaji ya klabu ya soka ya AFC Leopards na hapa anaelezea malalamiko yake mara baada ya mchezo huo kumalizika.
Mabao ya Simba katika mchezo huo yamepatikana kupitia kwa Emmanuel Okwi na Cletous Chama, na sasa Simba wamekata tiketi ya kucheza nusu fainali na Bandari FC waliowatoa Singida United.
Unaweza soma hizi pia..
Auseems kutambulishwa Yanga
Kile kishindo alichotangaza msemaji wa Yanga Antonio Nuggas huenda ndio kanakaribia kutimia. Tuendelee kuweka bando tuu na kuendelea kufuatilia tovuti ya Kandanda kwa habari zaidi za usajili.
Kahata kuchelewa, Chama yuko njiani!
Kuhusu wachezaji ambao hawajafika aliwataja ni Chama , Kahata na Shiboub ambapo amedai kuwa kwa sasa wanafanya kila wawezalo ili kuhakikisha wachezaji hao wanawasili.
Kwa misimu miwili wageni wanakimbiza ufungaji!
Huku namba wachezaji wa kigeni waliofanya vizuri katika ufungaji wa mabao wakiwa wameondoka nchini kina Emmanuel Okwi na Heritier Makambo.
Kuifunga Simba , Yanga wanatakiwa kuwa na Manji, Zahera na Aussems kwa pamoja
Tarehe 4/1/2020 inakaribia sana. Siku ambayo nchi nzima itasimama kushuhudia pambano moja ambalo hugawa nchi pande mbili. Upande wa kwanza...