Auseems kutambulishwa Yanga
Kile kishindo alichotangaza msemaji wa Yanga Antonio Nuggas huenda ndio kanakaribia kutimia. Tuendelee kuweka bando tuu na kuendelea kufuatilia tovuti ya Kandanda kwa habari zaidi za usajili.
Kuifunga Simba , Yanga wanatakiwa kuwa na Manji, Zahera na Aussems kwa pamoja
Tarehe 4/1/2020 inakaribia sana. Siku ambayo nchi nzima itasimama kushuhudia pambano moja ambalo hugawa nchi pande mbili. Upande wa kwanza...
Zesco lazima wafe-Aussems
Kwenye michuano ya msimu huu, Simba wameondoshwa kwenye hatua ya awali dhidi ya UD Songo ya Msumbiji kwa goli la ugenini
AFC Leopards walilia mchezo mchafu.
Mabao ya Simba katika mchezo huo yamepatikana kupitia kwa Emmanuel Okwi na Cletous Chama, na sasa Simba wamekata tiketi ya kucheza nusu fainali na Bandari FC waliowatoa Singida United.
“Game plan” ya Aussems ilikuwa sahihi, lakini tatizo lilikuwa hapa…!
“Kila mechi huwa tunajitahidi kuumiliki mpira na kujaribu kutengeneza nafasi nyingi za magoli, hata hapa tutafanya hivyo, sisi hatukuja kujilinda tumekuja kucheza”.
Kocha Aussems aanika “game plan” yake dhidi ya AS Club Vita.
“Tunajua wataanza kutushambulia kwa kasi kama ilivyo kawaida kwa klabu kama Vita katika michezo yake ya nyumbani”
Aussem amethibitisha! sura ya binadamu, roho ya paka.
Kabla sijakupeleka mbali, kwanza vuta taswira ya paka, kisha mkaribishe kocha wa Simba SC, Patrick Aussem katika medulla ya ubongo wako kisha anza kumtafsiri kwa kukumbuka kama ndiye aliyeirudisha historia iliyoadimika kusikika kwa wekundu wa msimbazi na nchi kwa ujumla baada ya miaka 15 kabla ya kufuzu raundi ya makundi klabu bingwa barani Africa.
Simba bila kocha msaidizi yatawakuta haya.
Hivi unamkumbuka Mikel Arteta Amatriain? Achana na Miguel Arteta, mtengeneza filamu, namaanisha yule mkata umeme wa Arsenal miaka ya 2011,aliyekataukame wa vikombe kwa miaka 9 pale kwa washika bunduki wa Arsenal akicheza kama kiungo mkabaji chini yaArsene Wenger.
Nkana vs Simba Sc, natarajia hiki kutoka kwa Aussem.
Mpira ni sayansi , yaani lazima kuwe na utaratibu maalumuambao utaiwezesha timu kupata matokeo kutokana na hitaji la mechi husika.
Ghafla nimemkumbuka Masoud Djuma
Aliwah kujibebea mashabiki wengi sana hapa nchini kulingana na aina ya soka ambalo aliwahi kulionesha kwenye ligi yetu hii....