AFCONOkwi hakustahili kupata dakika nyingi dhidi ya StarsMwandishi Wetu1 year agoVijana wa Micho sasa wako mkiani mwa Kundi F wakiwa na pointi moja kutoka kwa pointi tisa baada ya michezo mitatu
Ligi KuuKwa misimu miwili wageni wanakimbiza ufungaji!Thomas Mselemu4 years agoHuku namba wachezaji wa kigeni waliofanya vizuri katika ufungaji wa mabao wakiwa wameondoka nchini kina Emmanuel Okwi na Heritier Makambo.
BlogSitoshangaa Okwi akisajiliwa tena msimu ujao na SimbaMartin Kiyumbi5 years agoKuna penzi tamu kama penzi la Emmanuel Okwi na timu ya Simba ?. Hapana shaka ni mara chache sana kuona wapenzi wa aina hii katika dunia ya leo.
Ligi KuuSijashangazwa na Chirwa, nashangaa Miraj kumbadili Okwi Simba SCBaraka Mbolembole5 years agoMiraj huenda akatambulishwa hivi karibuni, jezi yake namba 7 aliyokuwa akiivaa Lipuli Fc anakuja nayo Simba Sc
UhamishoOkwi sio mchezaji wa Simba! Kaizer Chiefs yahusikaMartin Kiyumbi5 years ago"Na mpaka sasa hivi kwenye mikono yake amedai kuwa ana ofa tatu mpaka sasa hivi, hivo tumemwacha aende Afcon, akirudi tutazungumza naye".
Ligi KuuEmmanuel Anorld Okwi!Thomas Mselemu5 years agoKwa maana hiyo Okwi amehusika katika mabao matano katika michezo mitano ya Simba katika Ligi Kuu Bara.
Ligi KuuBaada ya “double hatrick” Simba watawala ufungaji boraThomas Mselemu5 years agoBaada ya Emmanuel Okwi na Meddie Kagere kufunga mabao matatu katika mechi moja kwa mara ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Coastal Union ni wazi sasa katika vita ya ufungaji bora imetawaliwa na wachezaji kutoka Simba sc
Ligi KuuOkwi mtamu Kanda ya Ziwa, Manula hapana.Thomas Mselemu5 years agoSimba sasa imebakisha mchezo mmoja katika ukanda huo watakaoucheza kesho dhidi ya Biashara United ya Mara.
Mabingwa AfrikaPengo la Okwi litazibika kwa masharti makuu manne, haya hapa.Sekwao Mwendi5 years agoSimba wanahitaji kucheza kwa nidhamu kubwa sana, hasa “marking”, na aina ya mchezo wanaotaka kuucheza.
Ligi KuuKichuya hayupo, kabaki Emmanuel Okwi wa kuwaua YANGAMartin Kiyumbi5 years agoEmmanuel Okwi yuko hivo kwa sasa, anajiona kama kiongozi mkuu ndani ya timu ya Simba. Jambo ambalo ni zuri sana.