
Leo kutakua na mchezo mwingine na Ligi Kuu ya NBC ambapo Azam Fc watakua wenyeji wa Simba katika Uwanja wao wa Azam Complex Chamanzi nje kidogo ya Jiji la Dar es salaam.
Katika mchezo wa duru la kwanza Azam walikubali kipigo cha mabao mawili kwa moja katika dimba la Benjamin Mkapa. Goli la Azam lilifungwa na Rodgers Kola wakati yale ya Simba yalifungwa na Osmane Sakho na Sadio Kanoute.

Kuelekea mchezo huu utakaopigwa Chamanzi ni wazi Simba ana kila sababu ya kupata matokeo mbele ya Azam Fc kutokana na sababu nyingi za kiufundi.
Mtazame hapa Tigana Lukinja akiuchambua ubora wa Simba utakaoipa matokeo mbele ya Azam Fc ugenini Chamanzi.
Unaweza soma hizi pia..
Mtibwa na mchezo wao wa karata.
Kama ningeulizwa ya Mtibwa Sugar FC ilipaswa kuwa timu ya mchezo gani basi jibu langu la moja kwa moja ingekuwa...
Mpole ni sugu aliahidi ufungaji bora!
ni sugu na jasiri sana hana uwoga hata kidogo na ni mtu wa kujitoa mhanga na ni mpambanaji haswa.
Tamu na chungu za dakika ya mwisho!
Ligi kwa ujumla ilikuwa ngumu na yeye kusisimua licha ya bingwa kupatikana mapema lakini kiwango cha ushindani kilikuwa kikubwa hadi dakika ya mwisho.
Simba nafasi ya pili, fuatilia msimamo mubashara
Tayari Yanga ameshatangazwa bingwa wa msimu wa 2021/22. Fuatilia msimamo huu live wakati mechi zikiendelea. Nitakuwa nakuletea dondoo zangu hapa...