
Klop (Kocha wa Liverpool)
Klabu ya Liverpool yenye ukame wa muda mrefu, ukame wa umri wa mtu mzima katika kutwaa kombe la ligi kuu Uingereza, inaonekana kuwa katika nafasi ya kutwaa ubingwa msimu huu.
Liverpool inafukuzana kwa karibu na Manchester City katika kinyang’anyiro hicho ambacho kimebakiza mechi chache sana.
Unaweza soma hizi pia..
Mgeni njoo mwenyeji apone!
Baada ya msimu ujao United atakuwa anatimiza miaka 10 tangu kutwaa ubingwa wake wa mwisho wakiwa na mstaafu Sir Alex Ferguson.
Tottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!
Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora
Waafrika vinara wa mabao katika Ligi ya Mabingwa!
mabao 13 kati ya Mane yametoka katika hatua ya mtoano, ambayo ni zaidi ya Lionel Messi tangu kuanza kwa msimu wa 2017-18.
Adui No1 wa Pep Guardiola
Wapwa: Kweli "zimwi likujualo halikuli likakwisha" kufuatia matokeo ya Premier league usiku wa jana inaashiria kitu.