
Lipuli FC wamepata alama zote tatu wakicheza ugenini dhidi ya Wanatamtam Mtibwa Sugar.
Mchezo huo umepigwa kwenye uwanja wa Manungu Complex mkoani Morogoro, na bao pekee la Seif Abdallah Karihe katika dakika ya 80 dhilo liipa ushindi Lipuli katika mchezo huo mgumu.
Msikilize Kocha msaidizi wa Lipuli, Seleman Matola akizungumza na Kandanda.co.tz mara baada ya mchezo huo kumalizika.
Unaweza soma hizi pia..
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kocha Yanga: Kesho tunacheza mechi mbili.
Yanga wakaua makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kupepetana na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu ya NBC.
Kwa Yanga hii ubingwa upo palepale!
presha ya ubingwa kuanza kutawala kuanzia kwa mashabiki mpaka kwa wachezaji wa Yanga.