
Safari yake ni ya kishujaa , toka akiwa TP Mazembe na akafanikiwa kushinda taji la ligi ya mabingwa barani Afrika.
Baada ya kutoka TP Mazembe alienda Sudan kabla hajaenda Algeria kucheza kwenye timu ya Saoura, Saoura ilishiriki michuano ya ligi ya mabingwa na kufika hatua ya makundi.

Kuna habari za ndani ya klabu hiyo kuwa Thomas Ulimwengu ameachwa na timu hiyo. Tumejaribu kuwatafuta watu wa karibu wa Thomas Ulimwengu lakini hawakupatikana , lakini habari zinazoeenea Algeria kwenye vyombo vya habari ni Thomas Ulimwengu kuachwa na timu hiyo.
Unaweza soma hizi pia..
Manara ataja timu atakayokwenda Morrison.
Kila lakheri huko uendako, kwa taarifa nilizozipata mida hii najulishwa unaelekea klabu kubwa Barani Afrika
Said Ndemla awa lulu, wababe wanataka kumrudisha mjini.
Said Ndemla alijiunga na Mtibwa msimu huu akitokea Simba Sc baada ya aliyekua kocha wa wa Simba wakati huo Didier Gomes kumkataa
Sakho agombewa Afrika Kusini, Kaizer na Orlando wamtolea macho!
Ikiwa ana msimu mmoja tuu na Simba akijiunga nao akitokea Teungueth ya nchini kwao Senegal ameonekana kuwa moja ya nyota tishio kwa Wekundu wa Msimbazi.
Samatta huyoo West Brom
Baada kuanza kwa kipigo cha mabao matatu kwa sifusi West Brom wanahitaji mshambuliaji wa kwenda kuongeza nguvu katika eneo la mbele huku wakiona Mbwana Samatta