
Baada ya kuonekana kuzidiwa kete na Azam FC kwenye usajili wa kiungo wa zamani wa Kagera Sugar , Awesu Awesu , Yanga imeamua kuhamia kwa nahodha msaidizi wa Azam FC Abubakar Sureboy .
Kiungo huyo mshambuliaji amekuwa na timu ya Azam FC tangu daraja la kwanza mwaka 2008 mpaka msimu uliopita. Amedumu na Azam FC kwa muda wa miaka 12 na ni mmoja ya wachezaji muhimu katika kikosi hicho.
Kiungo huyo wa timu ya Taifa ya Tanzania amekuwa akiwaniwa kwa nguvu zote na mabingwa hao wa kihistoria nchini ili kuimarisha kikosi chao ambacho msimu uliopita kimefanya vibaya.
Unaweza soma hizi pia..
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.