Sambaza....

Kagera Sugar na Mwadui Fc zimeingia katika hatua ya mtoano dhidi ya timu za ligi daraja la kwanza ili kuamua nani atabaki au atapanda Ligi Kuu.  Salimu Aiyee ni mfungaji bora kwa wazawa, lakini timu yake ipo hatarini kushuka daraja.

Tazama ratiba yao hapa chini, na endelea kufuatilia kandanda kujua ni timu zipi zitapanda.




Timu mbili zinasubiriwa kuungana na hizi 18

PosTimuPFAGDPts
1222439128311513
2215377126251491
3216328159169419
4214180211-31260
5216181231-50257
6184153176-23240
7185175206-31227
8194177218-41223
91481611574203
10166153185-32192
11165144199-55182
1212695112-17156
13108119134-15131
1410696115-19128
1510889127-38128
161068297-15123
1710786120-34122
189984112-28120
1910575101-26118
207984822112

Sambaza....