Akizungumzia uwezekano wa timu yake kushuka daraja Hitimana amesema Ligi ni ngumu lakini hawana namna njia pekee ya kubaki Ligi kuu ni kushinda michezo iliyopo mbele yao.
Kwa upande wa Geita wao bado wanakumbuka walivyofungwa nje ndani na Yanga msimu huu lakini pia walovyotolewa msimu uliopita katika michuano hii hii hatua ya robo fainali na Wananchi Yanga.
Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa
Licha ya Geita Gold kutangulia kufunga lakini Yanga walitulia na kurudi kwa kasi kipindi cha pili, walirudisha bao hilo na kuongeza mengine na kupata ushindi mnono.
Baada ya kumaliza majukumu ya Kimataifa katika michezo ya Klabu bingwa kwa upande wa Simba na Shirikisho kwa Yanga na kupata ushindi sasa wanarudi dimbani katika Ligi Kuu ya NBC.
Shirikisho la soka nchini linatarajiwa kuendesha droo ya robo fainali pia kutaja uwanja utakaotumika katika michezo ya fainali na nusu fainali mapema mwezi huu.