Hapa ndipo umuhimu wa Papy Kabamba Tshishimbi unapokuja, inawezekana Bernard Morrison ni mchezaji hatari lakini Papy Kabamba Tshishimbi ndiye mchezaji.
Mwadui fc watakua wanaikaribisha Yanga katika uwanja wa Kambarage Shinyanga, wakati Coastal Union watakua Mkwakwani kuikaribisha Namungo fc katika mchezo wa kisasi.
Baada ya mpango huo kufeli nikavutiwa na mpango wa kuja Tanzania ili nijiunge na Simba kama njia ya kwenda Ulaya maana nilikua najua kuna Wanigeria walipita hapa nakwenda Ulaya, nilisikia Emeh Ezechukwe alipita Simba akaenda nchini Denmark."
Timu ambayo ilikuwa inasubiriwa kushuka daraja kuungana na African Lyon imepatikana rasmi. Kagera Sugar ya Kagera imeshuka rasmi baada ya kutoka sare moja kwa moja na Mbao.
Beki wa pembeni wa timu ya soka ya Mwadui ya mjini Shinyanga Miraji Makka amesema imembidi kusafiri na timu kuelekea jijini Dar es Salaam ili kupambana na kuisaidia timu hiyo kusalia kwenye ligi kuu msimu ujao watakapocheza na KMC.