Kwa misimu miwili wageni wanakimbiza ufungaji!
Huku namba wachezaji wa kigeni waliofanya vizuri katika ufungaji wa mabao wakiwa wameondoka nchini kina Emmanuel Okwi na Heritier Makambo.
Tshabalala, Sonso watemwa Taifa Stars
Katika orodha hii, kuna sura ngeni akiwemo Salim Aiyee huku wengine wakiachwa kutoka katika kikosi cha Amunike cha awali.
Mechi za Mtoano, kupanda au kushuka Ligi
Kagera Sugar na Mwadui Fc zimeingia katika hatua ya mtoano dhidi ya timu za ligi daraja la kwanza ili kuamua nani atabaki au atapanda Ligi Kuu.
Baada ya “double hatrick” Simba watawala ufungaji bora
Baada ya Emmanuel Okwi na Meddie Kagere kufunga mabao matatu katika mechi moja kwa mara ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Coastal Union ni wazi sasa katika vita ya ufungaji bora imetawaliwa na wachezaji kutoka Simba sc
Ajib, Sure Boy, Aiyee, kuna vitu hamjaviweka sawa!
Mwaka 2018, Ronaldo ndiye aliyekuwa binadamu mwenye wafuasi wengi zaidi katika mtandao wa Instagram. Alikuwa na followers 144,482,390. Hivi mchezaji mwenye mashabiki wengi hivi unadhani ni ngumu kupata
Ajib hakuvutii vipi Sure boy na Hassan Dilunga kuachwa Stars?.
Amunike amerogwa na mapro wakati kuna wakali wapo hapa hapa bongo.
Salim Aiyee na Ibrahim Ajibu kujumuishwa Taifa Stars ya Amunike?
Je tutegemee kikosi cha mwalimu Amunike kitakua na sura mpya? Tutegemee ujumuisho wa kinara wa mabao wa TPL kutoka Mwadui, Salimu Aiyee mwenye mabao 14? Au Ibrahim Ajib nahodha wa Yanga?. Tupe maoni yako.
Tanzania imesheheni washambuliaji kibao!
Pengine kufanya vizuri kwa Mbwana Samata akiwa Krc Genk kumefungua njia kwa vijana wetu: