
Klabu ya soka ya Mbao ya jijini Mwanza kupitia ukurasa wake wa Instagram imemtangaza kocha Salum Mayanga kuwa kocha wake mkuu ikiwa ni siku chache baada ya kumtimua Kocha Ally Bushiri aliyekuwa akishikilia mikoba hiyo.
Kabla ya kibarua hicho, Mayanga alikuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa mabingwa wa kombe la FA Mtibwa Sugar lakini pia amewahi kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) pamoja na vilabu mbalimbali vikiwemo Tanzania Prisons pamoja na Mtibwa Sugar yenyewe.
Taarifa zaidi itafuata:
Unaweza soma hizi pia..
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kocha Yanga: Kesho tunacheza mechi mbili.
Yanga wakaua makao makuu ya nchi Jijini Dodoma kupepetana na Dodoma Jiji katika Ligi Kuu ya NBC.
Kwa Yanga hii ubingwa upo palepale!
presha ya ubingwa kuanza kutawala kuanzia kwa mashabiki mpaka kwa wachezaji wa Yanga.