Coastal Union yaanza usajili na streka wa Azam fc.
Hakuna mshambuliaji wa Coastal mwenye idadi hiyo ya mabao mpaka sasa kwenye VPL. Mchezaji mwenye mabao mengi wa Coastal mpaka sasa ni Ayoub Lyanga mwenye mabao saba.
Mechi nne kufa na kupona Leo!
Mpaka sasa hivi African Lyon ndiyo timu pekee ambayo hatutokuwa nayo kwenye ligi kuu msimu ujao.
Makka asafiri na majeraha, kuinusuru Mwadui isishuke daraja.
Beki wa pembeni wa timu ya soka ya Mwadui ya mjini Shinyanga Miraji Makka amesema imembidi kusafiri na timu kuelekea jijini Dar es Salaam ili kupambana na kuisaidia timu hiyo kusalia kwenye ligi kuu msimu ujao watakapocheza na KMC.
Historia inaibeba KMC kombe la FA!
Baada ya kuiondosha kwa mabao mawili kwa sifuri African Lyon katika uwanja wa Jenerali Isamuhyo Mbweni sasa KMC inasubiri mshindi kati ya Kagera Sugar ama Azam f c ili kucheza nae nusu fainali.
Ooohoo!!! Simba waifuata Mbao na hasira kibao.
Kikosi cha wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club kimeondoka leo asubuhi kikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea mkoani Morogoro ambapo...
Habari za hivi punde: Mayanga wa Taifa Stars atua Mbao FC.
Klabu ya soka ya Mbao ya jijini Mwanza kupitia ukurasa wake wa Instagram imemtangaza kocha Salum Mayanga kuwa kocha wake...
MZFA Watoa ufafanuzi, kutokuwapo kwa Ambulance Kirumba.
Chama cha soka mkoa wa Mwanza (MZFA) kimetolea ufafanuzi kuhusiana na kutokuwapo kwa gari la wagonjwa (Ambulance) kwenye uwanja wa...
Michuano ya SportPesa kuhitimishwa Jumapili, nani kuibuka na ubingwa?
Kama ilivyokuwa kwa msimu wa kwanza ambapo timu kutoka Kenya Gor Mahia na AFC Leopards walicheza kwenye ardhi ya Tanzania kutafuta mshindi
Imekua ni vita ya Tanzania na Kenya sasa.
Vita ya kuwania kucheza na Everton imekua ngumu na kuhamia kati ya nchi na nchi.
Super Cup: Simba kuanza na Leopards, Yanga wapewa Kariobangi.
Ikumbukwe kuwa bingwa wa michuano hii atapata nafasi ya kucheza na timu ya Everton kutoka nchini Uingereza katika tarehe ambayo itapangwa hapo baadae.