
Mchezo wa Yanga na Simba umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi tena mbele ya Rais wa Jamuhuri yacMuungano ya Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa CAF Ahmad Ahmad ambae yupo nchini kwa ziara ya siku 3.
Bao la Yanga katika mchezo huo limefungwa na Benard Morrison kwa mkwaju wa adhabu nje kidogo ya eneo la hatari la Simba katika dakika ya 45 ya mchezo.
Tazama hapa picha za matukio mbalimbali katika mchezo huo.









Unaweza soma hizi pia..
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Moto wawaponza Simba CAF.
Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.