Sambaza....

Kagera Sugar na Mwadui Fc zimeingia katika hatua ya mtoano dhidi ya timu za ligi daraja la kwanza ili kuamua nani atabaki au atapanda Ligi Kuu.  Salimu Aiyee ni mfungaji bora kwa wazawa, lakini timu yake ipo hatarini kushuka daraja.

Tazama ratiba yao hapa chini, na endelea kufuatilia kandanda kujua ni timu zipi zitapanda.




Timu mbili zinasubiriwa kuungana na hizi 18

PosTimuPFAGDPts
1222439128311513
2216380126254494
3217330159171422
4216180213-33260
5216181231-50257
6186155178-23243
7187176207-31230
8195177219-42223
91501631585207
10168154187-33195
11165144199-55182
1212898114-16160
13108119134-15131
1411091130-39129
1510696115-19128
161068297-15123
1710786120-34122
189984112-28120
1910575101-26118
208085823115

Sambaza....