
Baada ya kumshusha Lary Bwalya kutoka Power Dynamos kutoka Power Dynamos kutoka Zambia Simba leo pia wana jambo leo katika kuendeleza vuguvugu la usajili.
Cris Mugalu ambae nae pia anatokea Zambia anatajwa kutambulishwa leo na Wekundu wa Msimbazi Simba. Mugali anaecheza eneo la ushambuliaji anakwenda kuungana na kina John Bocco na Meddie Kagere kuongeza nguvu kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Kabla ya kuitumikia Lusaka Dynamos Cris Mugalu ambae ni raia wa Congo alikua Green Eagles ya Zambia katika msimu wa 2018 kabla ya mwaka 2019 kujiunga na Lusaka Dynamos.
Kandanda inafahamu mshambuliaji huyo alitua nchini jana na Ethiopia Airlines pamoja na kiungo mpya Lary Bwalya ambae yeye alitambulishwa jana.
Unaweza soma hizi pia..
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.