
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Wayne Rooney, aliecheza kwa mfanikio katika klabu hiyo kabla ya kurudi tena katika klabu yake ya awali ya Everton FC, anatarajia kwenda marekani. Imeripotiwa na skysports.com kuwa kwa sasa yupo katika mazungumzo na klabu ya DC United yenye makazi yake pale Washington DC.

Vyanzo vinasema, Rooney huenda pia akafanya vipimo vya afya pia kujiunga na timu hii iliyo MLS.
Miaka | Timu | Mechi | Magoli |
2002–2004 | Everton | 67 | 15 |
2004–2017 | Manchester United | 393 | 183 |
2017– | Everton | 31 | 10 |
-Rekodi za Wayne Rooney.
Habari nyingine za Uhamisho:
Fred kuelekea Manchester United
Mazungumzo yanaendelea vizuri kati ya Manchester United na kiungo Mbrazili wa Shakhtar Donetsk, Fred, mwenye miaka 25. Man Utd wanakimbizana na muda kabla ya kuanza kwa kombe la dunia huko Urusi.
Unaweza soma hizi pia..
Simba yatangaza rasmi kuachana na Morrison
Kumekuwepo na tetesi zinazomuhusisha Benard Morrison kurejea klabu yake ya zamani Yanga ambayo aliitumikia kabla ya kujiunga na Simba.
Simba: Tunawaza kumsajili Simon Msuva!
Kwasasa Simon Msuva yupo nchini akiwa hana klabu anayoichezea baada ya kushindwa kufikia muafaka na waajiri wake Wydad Casablanca
Kibwana: Inawauma lakini nipo Yanga!
Uwepo wa Kibwana Shomary tena kwa miaka miwili Yanga kunahatarisha nafasi za walinzi wa kushoto wa Yanga pia kina Yassin Mustapha na Bryson Raphael.
Tottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!
Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora