Kisanga cha Ferguson kumpiga na kiatu Beckham!
Beckham akahamaki na kunyanyuka ili amzingue babu Fergie, lakini wachezaji wakamzuia asimchape mzee wa mabigijii.
Mgeni njoo mwenyeji apone!
Baada ya msimu ujao United atakuwa anatimiza miaka 10 tangu kutwaa ubingwa wake wa mwisho wakiwa na mstaafu Sir Alex Ferguson.
Tottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!
Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora
Nyota watakaompisha Ten Hag United wakiongozwa na Pogba
Pengine moja ya majina ya kushangaza zaidi ya wababe hao wa Uingereza wanasemekana kuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo ni mhitimu wa akademi
Manchester United watauza sana jezi zao
Klabu ya Manchester United imezindua jezi zake za msimu wa 2020/21, katika jezi hizo ile ya chaguo la tatu ndiyo...
Zlatan: Makombe yanamuogopa Mourinho
Yeye ni aina ya Meneja ambaye haogopi chochote. Yeye ni kama Zlatan. Haogopi bosi wa Klabu, Wacheza, Wanahabari. Kitu pekee anachokuwa akiogopa ni
Bruno Fernandes: Bahasha ya kaki kwa wasakatonge!
Mkishampa Rashford huo u’daktari wa heshima, basi Mpeni na Bruno Uganga wa heshima.
Pogba: Naenjoy soka United!
"Unaweza kusema kwamba timu imebadilika sana. Tunacheza kama timu kuliko vile tulivyofanya hapo awali
Said Ndemla amefufuka amekua Paul Scholes mpya!
, kama alipata kumuona labda kuna vitu alicopy kwake, kwa kile nilichokiona kwake jana akili yangu ilihama na kudhani Scholes amerejea kucheza soka.
Ibrahim Ajib ndie Anthony Martial wetu?
Vile ambavyo mashabiki wa United wanamuona Martial kama mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu na hajafika wanapotaka ndivyo ambavyo Ibrahim Ajib