
Baada ya leo tena kufanikiwa kuifunga Mtibwa Sugar bao moja kwa sifuri sasa Yanga wanafikisha alama 10 sawa kabisa na mahasimu wao Simba wenye alam kumi pia huku tofauti ikiwa ni tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa!
Msimamo Ligi Kuu Bara
# | Timu | P | W | D | L | F | A | GD | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | ![]() | 5 | 5 | 0 | 0 | 9 | 2 | 7 | 15 |
2 | ![]() | 5 | 4 | 1 | 0 | 14 | 2 | 12 | 13 |
3 | ![]() | 5 | 4 | 1 | 0 | 7 | 1 | 6 | 13 |
4 | ![]() | 5 | 3 | 1 | 1 | 6 | 2 | 4 | 10 |
5 | ![]() | 5 | 3 | 1 | 1 | 5 | 3 | 2 | 10 |
6 | ![]() | 5 | 3 | 1 | 1 | 3 | 4 | -1 | 10 |
7 | ![]() | 5 | 3 | 0 | 2 | 8 | 4 | 4 | 9 |
8 | ![]() | 5 | 2 | 0 | 3 | 4 | 4 | 0 | 6 |
9 | ![]() | 5 | 2 | 0 | 3 | 2 | 3 | -1 | 6 |
10 | ![]() | 5 | 1 | 2 | 2 | 3 | 4 | -1 | 5 |
You Might Also Like
Mtoto wa Mfalme anawakimbiza!
Mbio za kuwania Galacha wa mabao tayri zimeanza kwa kasi katika msimu huu.
Simba kuishusha Al-Ahly nchini.
Taarifa kutoka kwa klabu ya Simba imeeleza Al-Ahly wamekubali kushirikiana na Simba katika kujenga kituo cha kukuzia vijana cha soka, pia Alhly kuja nchini kucheza mchezo wa Kirafiki na Simbasc.
Madame Simba CEO, toka ofisini njoo huku uone.
Madam CEO toka sasa kwenye Box lako la U Director maana wakati ni huu na SISI WASWAHILI TUNASEMA USIPOUANIKA UTAULA MBICHI
SIMBA SC nayo ni timu ya WANANCHI pia.
Tunadharau kiingilio kidogo cha SIMBA, Bhakresa anauza vitu kwa shilingi mia.