- AZIZ KI vs KIBU DENIS
- Madrid 3, City 3. Ya Kibabe
- Fact na Dhana Tofauti Mpira wa Aziz Ki
- 10/10 Wachezaji wa Yanga vs Mamelod
- Yanga Baba Lao Afrika, Simba Mmmh!
Baada ya jana Simba Sc kutangaza kumuongezea mkataba John Bocco, leo hii itatangaza mchezaji mwingine tena waliomsajili.
Akizungumza na mtandao huu mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Bwana Magori amedai kuwa leo kutakuwepo na tangazo jipya la mchezaji.
” Watu wakae kwenye mitandao ya kijamii kuna mwingine atatangazwa leo”- alidai Magori
Subscribe
Login
0 Maoni