
Clatous Chama
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrick Mwakalebela, ameshaomba radhi kwa taarifa yake ya mwanzo kuwa walikuwa wakimuhitaji Cloutus Chama. Lakini hebu tujiulize mwamba huyu wa Lusaka angecheza wapi katika kikosi hicho cha Yanga? au Yanga ingetisha sana!.
Mwakelebela amenukuliwa akisema, kuwa ule ulikuwa ni utani wa Yanga na Simba tu.
Klabu Bingwa Afrika Kundi D
Klabu ya Simba pia imepeleka malalamiko katika shirikisho la Soka Tanzania kulalamika kwa nini Yanga imefanya mazungumzo na Chama wakati bado yumo katika mkataba. Simba imeomba klabu ya Yanga ichukuliwe hatua stahiki kwa kitendo hicho.
Tupe maoni yako katika sehemu ya maoni hapo chini.
Unaweza soma hizi pia..
Habari ikufikie Mwananchi!
Kikosi cha Yanga kipo kambini kamili gado tayari kabisa kumvaa Mnyama katika mchezo wa kisasi kwa upande wao
Jumamosi tulivu ya Sato na Sangara.
Makocha wote wawili ni waumini wa mifumo yenye idadi kubwa ya viungo pale kati ili kuleta usawa mzuri kwenye kushambulia na kijihami
Usichokijua katika safari ya Simba kombe la FA!
Simba imecheza michezo mitatu ikiwa mwenyeji dhidi ya Dar City, JKT Tanzania na Pamba Fc. Sio tu imepata ushindi lakini pia..
Rafiki yangu Ajib ananipa unyonge!
Ajib hajui mpira? Hapana. Kuna timu haitamani kipaji cha Ajib? Hapana. Katika ubora wake kuna timu katika ligi yetu Ajib anaweza kukaa benchi?