Haya ni matokeo ya mechi zote 28 za klabu ya Simba Sc msimu huu hadi ligi iliposimama. Mabingwa hao watetezi katika mechi zote hizo 28 wameshinda mechi 23, ikipoteza mechi tatu na kutoka sare mbili tu. Akipoteza kwa mtani wake na kutoa naye sare mechi moja pia.
Wachezaji wa Simba wakishangilia goli la kwanza katika mchezo dhidi ya Coastal Union
Unaweza soma hizi pia..
AZIZ KI vs KIBU DENIS
Yanga na Simba zinakutana katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC. Ikumbukwe katika mchezo uliopita klabu...
Yanga Baba Lao Afrika, Simba Mmmh!
vilabu vya Kaskazini vikiojekana kutawala katika nafasi za juu kwenye takwimu hizo zilizotoka
Simba Yawataja Itakaowapiga Chini Dirisha Dogo
Tutasajili lakini kwa mapendekezo ya mwalimu mpya ambaye tutamtangaza karibuni.
Yanga Ilivyosepa na Kijiji Msimbazi.
hakuwahi kupoteza mchezo hata mmoja wa Ligi lakini kipigo cha mabao matano kutoka kwa Mtani kimemfanya kupoteza kibarua chake