Wachezaji wa Simba wakishangilia goli la kwanza katika mchezo dhidi ya Coastal Union
Ligi Kuu

Simba hii ya msimu huu ni hatari sana.

Sambaza....

Haya ni matokeo ya mechi zote 28 za klabu ya Simba Sc msimu huu hadi ligi iliposimama. Mabingwa hao watetezi katika mechi zote hizo 28 wameshinda mechi 23, ikipoteza mechi tatu na kutoka sare mbili tu. Akipoteza kwa mtani wake na kutoa naye sare mechi moja pia.

Simba wakiwa katika mazoezi ya Mwisho kabla ya kukutana na Azam FC katika uwanja wa Samora

Mechi zote za Simba Sc

TareheMwenyeji-Mgeni

Katika mechi hizi zote 28, mechi gani wewe kama shabiki unadhani ilikuwa ngumu zaidi.

Sambaza....