
Klabu ya Simba sasa imeanza balaa katika usajili wa dirisha dogo baada ya kukaa kimya kwa muda huku wenzao Yanga wakitamba kwa kushusha vifaa vya maana.
Simba imeanza kujibu mapigo na sasa imeanza na winga machachari aliyewafunga katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Africa na kuwafanya kutolewa mapema katika michuano hiyo.

Luis Misuiquone ametambulishwa rasmi leo na Simba akitokea klabu ya Mamelody Sundowns ambao walimtoa kwa mkopo katika klabu ya UD Songo ya nchini Msumbiji.
Luia ametambulishwa leo na kocha mkuu wa Simba Sven Vandebroek huku akionekana mwenye furaha na shauku ya kuitumikia Simba.
Unaweza soma hizi pia..
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kombe la FA: Ni fainali ndani ya fainali.
Mchezo wa nusu fainali ni utakua na hadhi, ukubwa na umaarufu kuliko fainali yenyewe kutokana na aina ya wapinzani watakaokutana.
Vigogo wa Afrika wanalakujifunza kwa Simba hii!
Simba licha ya kutolewa katika robo fainali ya klabu bingwa Afrika mara mbili na Shirikisho mara moja lakini bado hakupoteza nyumbani
Yametimia wanakutana tena
Tangu kombe hili lirudi Simba amekua na historia nzuri mbele ya mwenzake, katika michezo mitatu yote Simba ameshinda