Hizi ndio timu bora 10 katika mechi 106 zilizocheza kwa misimu mitatu. Lakini kumbuka, kuna timu mbili katika timu hizi bora msimu ujao hatutakuwanazo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.

Unaweza soma hizi pia..
Next Big Game: Simba vs Power Dynamo
Simba walipambana sana kuhakikisha wanaupata ushindi, lakini Je, wajua mshindi wa mchezo huu utakaopigwa Oktoba mosi atakwenda hatua ya makundi?...
Mashabiki wa Simba Walivyochonganishwa na Timu Yao!
Nawasikitia mashabiki hawa ambao wana timu imara ya ushindani, lakini wameingizwa kingi na wameingia, tena kiurahisi tu.
Sio Fei Toto Tena, ni Mudathir Yahya Zanzibar.
Nadhani mnakumbuka wakati Feisal Salum ana shida na Wananchii ndio wakati ambao Mudathir Yahya anaingia
Kanuni Ligi Kuu: UCHEZAJI WA KIUNGWANA
Mtandao wako wa kandanda.co.tz umekuwekea kanuni za Ligi Kuu Tanzania 2023. Hii ni sura ya kwanza (1) kanuni namba 1....