Kama ni asilimia, wachezaji wa Simba ningewapa hivi….
Amepiga “successful tackle” moja, alitumika kama winga wa kushoto. Pale alipopata nafasi ya kushambulia, alifanya hivyo na alileta madhara, ndio maana ya goli lake. Anastahili kupata alama alizo zipata
Mwalimu mzuri wa Chama ni ‘Ndemla na sio Mkude’.
Haya yote sio lazima ayasikie kutoka kwa Aussems ni lazima aujue mchezo kama mchezaji. Na hapa ndio utapata maana halisi ya maneno ya Meddie Kagere kuwa “Game Intelligence is better than age” na ndio maana kila siku Emmanuel okwi anaonekana kuwa mtu
Mambo matano mapya mechi ya Simba SC dhidi ya AFC Leopard.
Si tukio la kawaida sana katika soka lakini limejitokeza katika mechi ya Simba na Leopard. Chama alizozana na mwamuzi baada Mzamiru Yasin kumfanyia rafu mchezaji wa Leopard,
Simba SC Vs JS Saoura, utabiri wangu huu hapa.
Katika magoli yote 12 ya Simba katika michuano hii, magoli 7 yamefungwa na washambuliaji ikiwa ni asilimia 58.3, na magoli 5 yametiwa kimyani na viungo, hii ni sawa na asilimia 41.7.