Bocco: Tikitaka zitakua nyingi kesho!
Nahodha John Bocco amewaita mashabiki wa Simba huku pia akiahidi burudani yakutosha na mabao mengi pia.
Mambo usiyoyajua mechi za ufunguzi Ligi Kuu
Tunastahili kusimama na kumpigia makofi John Bocco.
Namungo watatupa changamoto- Bocco
Tutafanya kila jitihada kuhakikisha tunashida. Wachezaji 20 wapo tayari kwa mchezo.
Baada ya Molinga na Bocco kutupia tazama vita ya ufungaji bora ilivyonoga!
Michezo mitano ilipigwa jana katika viwanja mbalimbali nchini katika muendelezo wa Ligi Kuu Bara huku mshambuliaji wa Biashara United akiingia katika vitabu vya rekodi msimu huu.
Kutoka Misri 1-0 Stars, mwambieni Amunike Samatta ni namba 10, Bocco 9
Timu ya Tanzania jana ilikuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri, katika mchezo huo Tanzania ilipoteza kwa kufungwa bao moja bila. Je Kiwango cha timu umekikubali? Pitia uchambuzi huu
Bocco ni mchezaji wa Simba na siyo Polikwane FC.
Ni jana tu Simba ilitoa picha wakimsaini John Bocco, na leo wataendelea kutoa zaidi. Je Bocco anaweza kwenda kucheza nje?
Licha ya ‘kufana’, kwanini Bocco na si Kagere mshambulizi bora Simba SC?
Klabu ya Simba SC iliwatunikia wachezaji wake tuzo mbalimbali usiku uliopita ikiwa ni muendelezo wa tuzo hizo zilizoanza kutolewa msimu uliopita chini ya mwekezaji mkuu wa klabu hiyo-tajiri, Mohamed Dewji ‘MO’.
Baada ya “double hatrick” Simba watawala ufungaji bora
Baada ya Emmanuel Okwi na Meddie Kagere kufunga mabao matatu katika mechi moja kwa mara ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Coastal Union ni wazi sasa katika vita ya ufungaji bora imetawaliwa na wachezaji kutoka Simba sc
Angalia nafasi za timu za wachezaji walioitwa na Amunike
Tovuti ya kandanda imekuandalia takwimu za kila mchezaji kuangalia timu anayotoka ipo katika nafasi ya ngapi kati ya timu ngapi, alama timu ilizonazo katika ligi husika. Adi Yusuph na John Bocco vinara katika timu zao.
Nani ameifungia magoli Simba Sc msimu huu?
Safu ya ushambuliaji ya Simba Sc hakika ipo moto, mpaka sasa imeshafunga mabao 44 katika michezo 27 pekee ya Ligi kuu Tanzania bara.