Polisi: JKT hawapati kitu.
burudani kwa mashabiki wake ambao tangu msimu huu uanze hawajaiona timu yao na pia hawajawaona wachezaji wao wapya.
Ihefu: Tunaitaka nne bora!
John Mbise pia hakusita kutoa sababu zilizomfanya kuondoka katika timu ya Namungo fc
Mambo usiyoyajua mechi za ufunguzi Ligi Kuu
Tunastahili kusimama na kumpigia makofi John Bocco.
Namungo watatupa changamoto- Bocco
Tutafanya kila jitihada kuhakikisha tunashida. Wachezaji 20 wapo tayari kwa mchezo.
Yanga kushiriki ligi ya mabingwa barani Africa?
Kwa mujibu wa taratibu za shirikisho la mpira wa miguu barani Africa , CAF nchi 12 zenye ligi bora hutoa...
Lusajo aaga Namungo, kuibukia huku!
bila kusahau mashabiki wote wa Ruangwa waliokua wakitupa hamasa na support iliyotuwezesha kufikia malengo ya klabu. Nawatakia kila la kheri Mungu awabariki katika msimu ujao.
Namungo yavamia tena Lipuli!
hakumaliza msimu vizuri na klabu yale ya Lipuli baada ya kutofautiana na uongozi na hivyo kupelekea kushindwa kujiunga na timu kumalizia Ligi baada ya mapumziko ya ugonjwa wa corona kumalizika.
Kiungo Simba! Namungo wanastahili ubingwa FA.
Alimaliza kiungo huyo ambae kuna tetesi msimu ukimalizika huenda akatimikia nchini Estonia katika majaribio.
Sababu za Namungo kumfunga Simba leo!
Mara ya mwisho kwa Namungo FC kufungwa ilikuwa dhidi ya Simba kwenye uwanja wa Taifa walipofungwa magoli 3-2 . Tangu hapo wamepitia mechi 19 bila kufungwa na leo watakuwa wanatafuta mechi ya 20 bila kufungwa.
Ngoma ngumu lakini sherehe lazima inoge!
mchezo mgumu kutokana na uimara wa wapinzani lakini atahakikisha tunapata ushindi ili kunogesha sherehe za kukabidhiwa taji letu la ubingwa.