Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Mbwana 'Samagoal' Samatta aakijibu maswali mbele ya mkutano na waandishi wa Habari, aliposajiliwa na klabu ya Genk ya Ubelgiji. Samatta ameelezea kufurahishwa na kujiunga kwake katika klabu ya Genk, na yupo tayari kuisaidia timu hiyo kushinda mabao ambayo yataiwezesha klabu hiyo kupata mataji. Anategemea kuwa na misimu mizuri hapo Genk,...