Mbao FC vs Azam FC

Hakika itakuwa ni mechi ya kuvutia!
Mbao tayari imeshacheza mechi 11 na kujikusanyia alama 14 ikiwa katika nafasi ya 12, huku Azama wakiwa katika nafasi ya 14, ikijikusanyia alama 13 katika mechi 7 ilizocheza.

Ruvu Shooting vs Simba SC

Ruvu Shooting wakikutana na timu kubwa huwa wahahitaji kumiliki Mpira sana,na badala yake timu nzima hukuba vizuri eneo la kati, huziba mianya ya pasi mpenyezo na muda kwa timu pinzani kukaa na mpira na kufanya mashambuzi ya hatari na kushambulia kwa pamoja

Stori zaidi