Mwadui FC vs Simba SC
Simba imeaambulia pointi moja tu mjini Shinyanga, baada ya kutoka sare dhidi ya Mwadui FC.
Young Africans SC vs Majimaji FC
Mabingwa watetezi, Yanga, wanarudi uwanjani tena katika majukumu ya ligi kuu Tanzania bara, baada ya ushindi wa bao 1-0 katika klabu bingwa afrika. Ushindi kwao katika mechi hii ni muhimu ili kupunguza tofauti ya pointi kati yake na mtani.