Jarida maalumu la kuripoti michuano ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 inayoendelea hapa nchini, limeripoti kwamba tayari vilabu kadhaa barani Ulaya vimeonesha nia ya kufanya mazungumzo ya awali na walezi ama wazazi wa mshambuliaji wa Tanzania Kelvin John ili kumnyakua. Jarida hilo limewataja mawakala wa vilabu...
Timu ya Cameroon tayari imewasili nchini iliwa tayari kabisa kushiriki michuano ya Afcon kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 inayofanyika Tanzania kwa mara ya kwanza.
Zikiwa zimesalia siku 12 kabla ya michuano ya Kandanda ya Afrika kwa vijana chini ya Umri wa miaka 17 haijaanza, inaelezwa kwamba zoezi la ukarabati wa uwanja wa Uhuru ikiwa ni pamoja na kubadilisha nyasi linaendelea vizuri. Meneja wa uwanja huo Nsajigwa Godwin amesema tayari wameshafanya zoezi la kubadilisha nyasi...
Timu hizo zimegawanyika katika makundi mawili yaani kundi A na B. Ambapo washindi wawili (wa kwanza na wapili) kila kundi watapata nafasi ya kufuzu nusu fainali.
Shirikisho la soka nchini Rwanda (FERWAFA) limethibitisha kuialika Tanzania kwenye mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17, mashindano ambayo yatashirikisha timu tatu pekee. Mashindano hayo yaliyopewa jina la Under 17 Mini-tournament yanatarajiwa kuanza Machi 28 na kufikia tamati April 4, 2019kwenye uwanja wa Stade de Kigali mjini Kigali, ...