Mataifa Afrika U17

Mataifa Afrika U17

Ajax, Manchester City wapigana vikumbo kwa Kelvin John.

Jarida maalumu la kuripoti michuano ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 inayoendelea hapa nchini, limeripoti kwamba tayari vilabu kadhaa barani Ulaya vimeonesha nia ya kufanya mazungumzo ya awali na walezi ama wazazi wa mshambuliaji wa Tanzania Kelvin John ili kumnyakua. Jarida hilo limewataja mawakala wa vilabu...
Mataifa Afrika U17

FERWAFA kuipa mazoezi mengine Serengeti Boys

Shirikisho la soka nchini Rwanda (FERWAFA) limethibitisha kuialika Tanzania kwenye mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17, mashindano ambayo yatashirikisha timu tatu pekee. Mashindano hayo yaliyopewa jina la Under 17 Mini-tournament yanatarajiwa kuanza Machi 28 na kufikia tamati April 4, 2019kwenye uwanja wa Stade de Kigali mjini Kigali, ...
1 2
Page 1 of 2