Yanga SC vs Azam FC
Yanga na Azam wapo katika mchuano mkubwa wa kuwania nafasi ya pili katika msimamo wa VPL. Yanga katoka kupata sare dhidi ya JKT na Azam mchezo wa mwisho amepata ushindi mbele ya Mbao fc.
Yanga na Azam wapo katika mchuano mkubwa wa kuwania nafasi ya pili katika msimamo wa VPL. Yanga katoka kupata sare dhidi ya JKT na Azam mchezo wa mwisho amepata ushindi mbele ya Mbao fc.