Kukaa Benchi la Taifa langu ni ushujaa- Adi Yusuph
Adi amecheza mechi moja tu akiingia kutokea benchi tangu alipoitwa kwa mara ya kwanza na aliyekuwa kocha wa Taifa Stars, Amunike.
Angalia nafasi za timu za wachezaji walioitwa na Amunike
Tovuti ya kandanda imekuandalia takwimu za kila mchezaji kuangalia timu anayotoka ipo katika nafasi ya ngapi kati ya timu ngapi, alama timu ilizonazo katika ligi husika. Adi Yusuph na John Bocco vinara katika timu zao.
Adi Yussuf, mshambuliaji mwenye njaa na goli
#NaniAtavaaJeziYaBlue? itakuwa inadokeza kwa ufupi tu nani ambaye anaweza kujumuishwa katika kikosi cha Stars kuelekea AFCON. Huu ni mtazamo tu.