Samatta amerudi mwanangu!
Baada ya maambukizi ya corona iliyosababisha Ligi kusimama sasa nahodha Mbwana Samatta anarudi zake.
Mesuit Ozil aigomea Arsenal
Ozil ameweka wazi kuwa anaheshimu wachezaji wengine na uamuzi wa kikundi, lakini amewasihi wamuheshimu pia.
Hatimaye Ozil huyoo…
Kiungo mjerumani na anayelipwa mshahara mrefu zaidi ndani ya washika mitutu wa London,Arsenal, Mesut Ozil yuko sokoni kwa sasa, na muda wowote huenda akatimkia kusiko julikana.
Licha Ya Arsenal Kushinda, Bado Ina Mapungufu
Jana tulishuhudia Pierre-Emirick Aubameyang akicheza mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Arsenal. Mechi hii Pierre-Emirick Aubameyang alifanikiwa kufunga...
Sajili Bora za Dirisha Dogo Msimu huu
Dirisha dogo la usajili lilifungwa tarehe 31 mwezi uliopita na kushuhudia timu mbalimbali zikinunua na kuuza baadhi ya wachezaji. Hawa...