Molinga akipungua kilo 4 ‘ataua watu’- Zahera
Mwinyi Zahera ameendelea kumtetea Molinga, je unadhani anaweza kuchukua viatu vya Makambo kiusahihi kabisa?
Mimi ndiye niliyemsajili Molinga- Zahera
Nilipigiwa simu kutoka Congo wakati huo nikiwa Ufaransa kuwa David Molinga hana timu