Aidha pia mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtazar Mangungu ameizungumzia Simba day ya mwaka huu huku pia akijinasibu kuwa wao ndio waanzilishi wa Tamasha hilo.
Mwenyekiti huyo pia amesema kwa nchi hii Simba ndio ina wachezaji wenye uzoefu na michuano ya Kimataifa hivyo hana shaka wanajua nini wanatakiwa wafanye na kupata matokeo mazuri.