Kwa matokeo hayo sasa Yanga imevuna alama 4 mkoani Mbeya na sasa wanajiandaa kuwavaa Biashara Utd jijini Dar kabla ya kuelekea January 4 kucheza na mtani wake Simba katika uwanja wa Taifa.
Mpwa ngoja nikushike sikio kabla hujaanza kusoma, ukiwa mchezoni jua hadi kipa ana nafasi ya kufunga? Chukua hiyo kwanza, sasa makumi 9 yangeleta bao 3?