Yanga imetangulia na Simba itafuata!
Simba si tu hawana alama lakini pia hawajafunga bao lolote mpaka sasa katika michuano hiyo hivyo mchezo wa Vipers unatarajiwa kuwa mgumu na wakufufua matumaini yao yakufuzu robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
Simba si tu hawana alama lakini pia hawajafunga bao lolote mpaka sasa katika michuano hiyo hivyo mchezo wa Vipers unatarajiwa kuwa mgumu na wakufufua matumaini yao yakufuzu robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
Pia kwakumpanga Saidoo namba 10 halafu Chama winga moja na winga nyingine huanza Sakho, ambapo mara nyingi Chama huingia ndani na kumfanya Shomary Kapombe au Mohamed Hussein kupanda na kushambulia kwakutokea pembeni na hapa ndio tatizo lapili huonekana.
Inonga, Onyango na Kennedy wawe mbele ya Manula, nina uhakika Simba watarudi nyumbani na alama tatu.
Hili linaingia kwenye uongozi tena, yule Mangungu kama alikua na hela ya kumkatia tiketi Manzoki aje Tanzania katika kampeni za uchaguzi
Pia Juma aliwasisitiza mashabiki kutimiza wajibu wao kwasababu mpira ni starehe na burudani tosha.
Wachezaji wetu wanajua jinsi ya kucheza hii michezo, yaani mchezo ukiwa unaanza hawa kina Kapombe, Tshabalala wanakua ni mara kumi na moja zaidi ya uwezo wao,”
Baada ya raundi hiyo ya nne kumalizika washindi wote watakaopata ushindi na kuvuka watakutana robo fainali ya michuano hiyo
Tumepata baraka zote kutoka kwa wadhamini wetu wakuu M-bet ambao ndio wana haki yakukaa mbele kifuani. Sisi sio madalali hatuwezi kuuza eneo mara mbili.
Kiungo wa Simba aliojiunga nao katika dirisha dogo akitokea Geita Gold ndio mchezaji aliehusika katika mabao mengi zaidi [mabao 20].
Michezo yote sita (miwili ya ndani) ni muhimu kwa Simba katika kuamua mbio zao za ubingwa dhidi ya Yanga lakini pia michezo mitatu ya Kundi D itaamua kama watafuzu tena na kwenda robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.