Prisons watoa baraka kwa Mohamed Rashid kutua Simba, Eliuter Mpepo mmmh!
Uongozi wa klabu ya soka ya Tanzania Prisons umetoa Baraka zote kwa mshambuliaji Mohamed Issa Rashid kujiunga na mabingwa wa Tanzania Bara Simba Sports Club, huku wakimlalamikia Eliuter Mpepo ambaye ameondoka bila kuaga. Katibu mkuu wa Tanzania Prisons Havintishi Abdallah ameeleza kuwa Mohamed Rashid aliuomba kuondoka na kutaja wapi anapoelekea...