Arsenal yatozwa faini ya mamilioni ya shilingi kwa kumzonga refa
Klabu ya Arsenal imepigwa faini ya zaidi ya Shilingi Milioni 61 na chama cha soka England (FA) kwa kosa la wachezaji wake kumzonga Refa Graham Scott kupinga pigo la penati katika mchezo wa ligi ya England dhidi ya Leicester City mapema mwezi huu. Wachezaji wa Arsenal walimzonga refa Scott kupinga...