Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon Roger Milla anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi goli katika michezo ya fainali ya kombe la Dunia
Mchezaji wa zamani wa AC Milan na Liberia George Weah ndio mchezaji pekee kutoka Afrika kuwahi kunyakua tuzo ya Ballon d'or. Weah ambae kwasasa ni Rais wa Liberia alitwaa tuzo hiyo mwaka 1995, mpaka sasa hakuna Mwafrika yoyote hata aliyekaribia kutwaa tuzo hiyo kubwa duniani kwa upande wa Kandanda.
Mshambuliaji Samwel Etoo wa Cameroon na kiungo Yaya Toure wa Ivory Coast ndio wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika mara nyingi. Eto'o (2003, 2004, 2005 na 2010) Yaya Toure (2011,2012, 2013 na 2014). 2003: Samuel Eto’o (Real Mallor4ca, Spain and Cameroon) 2004: Samuel Eto’o (Barcelona, Spain and Cameroon) 2005:...
Mfungaji bora wa muda wote wa Ligi Kuu Bara! John Raphael Bocco anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi kuu ya nchini Tanzania, mpaka sasa Bocco "Adebayor" ana magoli 136 ambayo amefunga katika misimu 14 huku bado akiwa anaendelea kucheza. Bocco...