Emery: Tunaikaribia ndoo ya Ubingwa.
Baada ya sare ya bao 1-1 na kiwango mujarabu dhidi ya Liverpool jana usiku, kocha mkuu wa Arsenal Unai Emery amesema wamekaribia kutwaa ubingwa wa ligi kuu England. Emery amekitaja kiwango ambacho wamekuwa wakikionesha kama ni uthibitisho wa kuwa bora na kuimarika tofauti na mwanzoni mwa ligi walipoitwa majina mengi....